Operesheni ya kutafuta bunduki 5 yaanza Dagoreti
About this video
Operesheni ya kutafuta bunduki 5 zilizochukuliwa na watu wasiojulikana katika kituo cha polisi cha Dagoreti wakati wa mandamano ya Jumatano inaendelea. Aidha Jaji Mkuu Martha Koome na Waziri wa Usalama Murkomen wametaja mashambulizi katika vituo 9 vya Polisi na majengo ya serikal..