Waziri wa Usalama asema hajutii uamuzi wa kuzima TV
About this video
Mamlaka ya mawasiliano CA imeondoa amri ya kuzuia vituo vya redio na televisheni kuweka mubashara matangazo kuhusu maandamano. Uamuzi huo ni kufuatia amri ya mahakama iliyokosoa hatua ya mamlaka hiyo mbali na kuzima mawimbi ya vituo vya televisheni.....