Back to home

Wanaharakati waandaa maandamano ya mauaji ya Albert Ojwang'

video
June 9, 2025
4 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Taifa linashuhudia ghadhabu na madai ya haki kufuatia kifo cha kusikitisha cha Albert Ojwang, akiwa mikononi mwa polisi. Kilichoanza kama kukamatwa kwa madai ya kuchapisha habari za uongo, sasa kimegeuka kuwa kilio cha kitaifa. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan ne..