Watu 15 walifariki kutokana na maandamano ya jana
About this video
Idadi ya waliouawa kwenye maandamano ya hapo jana imefikia 15 huku baadhi ya familia za waliouawa zikiwatambua wapendwa wao waliopigwa risasi. Kati ya wale waliouawa ni vijana wa umri wa miaka 17, baadhi yao wakiwa wanafunzi wa shule za upili waliopoteza maisha yao licha ya kutoh..