Back to home

Mtu mmoja ameuawa huku sita wakijeruhiwa Isiolo

video
June 30, 2025
about 11 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mtu mmoja ameuawa huku wengine sita, akiwemo mtoto wa miaka kumi na moja, wakijeruhiwa kwa risasi kufuatia shambulizi la wizi wa mifugo katika kijiji cha lmd, kata ya Burat, kaunti ya Isiolo usiku wa jana..