Back to home
Mbunge Koech ashutumiwa kwa kutaka waandamanaji wauawe kwa risasi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 10, 2025
11mo ago
Mbunge wa Belgut Nelson Koech amejipata pabaya kwa matamshi yake ya kuwataka maafisa wa polisi kuwapiga risasi na kuwauwa waandamanaji ambao wanavamia na kuharibu mali. Koech ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi bungeni akisema sheria inawaruhusu maafisa wa polisi kutumia ngu
Advertisement
Advertisement




