Back to home

Wanachama wa shamba la Emboloi Isinya walalamika

video
July 14, 2025
2 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wanachama 300 wa shamba la kijamii la Embolioi lililoko Isinya kaunti ya Kajiado wametofautiana vikali na uamuzi wa mahakama ya Kajiado ya kutoa idhini ya kuendeleza shuguli ya ugavi wa ardhi hiyo ya ekari 200 ambayo imekuwa na mzozo wa muda mrefu..