Back to home

Hofu ya usalama yazuka Mombasa kufuatia mauaji

video
July 24, 2025
1 day ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Familia moja mjini Mombasa inalilia haki baada ya jamaa yao kupigwa risasi na wahalifu katika mtaa wa Karama eneo bunge la Nyali. Judy Ndunda kamene aliyekuwa mfanyabiashara wa duka la mpesa aliuwawa na genge hilo mita chache karibu na nyumba yake. Genge hilo linadaiwa kutoweka n..