Back to home
Wakulima wa Mwea na Ahero wapinga uamuzi wa kuagiza mchele kutoka Nje, wazua wasiwasi sokoni
video
C
Citizen TV (Youtube)July 30, 2025
6mo ago
Wakulima wa mpunga maeneo ya Mwea na Ahero sasa wanasema Kenya ina mazao ya kutosha, ikipinga uamuzi wa serikali wa kuagiza tani laki tano za mchele kutoka mataifa ya kigeni. Wakulima hawa wakiishutumu serikali kwa kukosa kuwahusisha katika uamuzi huo ambao walisema utawaacha nji
Advertisement
Advertisement




