Back to homeWatch Original
Garshon Mutisya aliyeuwawa na polisi wakati wa maandamano amezikwa
video
August 2, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Biwi la simanzi lilighubika kijiji cha Makutano viungani mwa mji wa Emali katika mazishi ya Garshon Mutisya, kijana aliyeuawa kwa kupigwa risasi wakati wa maandamano ya tarehe 25 Juni. Familia, jamaa na marafiki waliohudhuria mazishi hayo wakiwashutumu maafisa wa polisi kwa kutum..