Back to home

Familia ya mwanamke aliyeuawa na afisa wa polisi Kanyonyoo, Kitui yalilia haki

video
August 6, 2025
6d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Familia ya mwanamke aliyeuawa na afisa wa polisi aliyekuwa rafikiye inalilia haki ikitaka afisa huyo aliyetoroka kukamatwa na kushtakiwa. Joy Mutisya, ambaye ni Mama wa watoto wawili aliuawa eneo la Kanyonyoo kaunti ya Kitui..