Back to home

Mshukiwa wa wizi wa simu akamata katika eneo la Kikuyu

video
August 7, 2025
5h ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Maafisa wa polisi huko Kikuyu kaunti ya Kiambu, hivi leo wamenasa zaidi ya simu za rununu 68, televisheni, kamera miongoni mwa vifaa vingine vya dhamana ya juu vya kielekitroniki katika jumba moja eneo la Kikuyu. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and ev..