Back to home

Wauguzi wa kaunti ya Busia wameanza mgomo leo

video
August 8, 2025
1w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kwingineko shughuli za matibabu zinatarajiwa kutatizika pakubwa baada ya wauguzi katika kaunti ya Busia kuanza mgomo wao saa sita usiku wa kuamkia leo wakilalama kuwa serikali ya kaunti imeshindwa kuangazia masaibu yao..