Back to home

Serikali ya kaunti Samburu yaongeza juhudi za usajili

video
August 11, 2025
3h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Serikali ya Kaunti ya Samburu imeongeza Juhudi za kufanikisha mpango wa usajili wa bima ya afya ya SHA mashinani. Hii ni baada ya ripoti iliyotolewa na wizara ya afya kuirodhesha Kaunti hiyo kuvuta mkia katika usajili kote nchini..