Back to home

Hisia zaendelea kutolewa kuhusu kauli ya Rais

video
August 11, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Tangazo la Rais kuhusu mikakati ya kuwapa fidia waathiriwa wa maandamano limeendelea kuzua hisia. Viongozi wa makanisa katika kaunti ya bungoma wamejitokeza kutaka jopo hilo kutekeleza kazi yake vyema kuhakikisha watakaonufaika ni waathiriwa halali..