Back to home

Wizara ya Hazina ya Kitaifa yazindua mchakato wa bajeti ya mwaka wa 2026-2027

video
August 25, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wizara ya Hazina ya Kitaifa imezindua mchakato wa kuunda Bajeti ya mwaka wa 2026-2027. Akizindua hafla hiyo katika ukumbi wa KICC hapa jijini Nairobi, Waziri wa Fedha John Mbadi ameeleza hatua ambazo serikali imepiga kuboresha uchumi wa taifa na mikakati iliyopo ya kuendeleza juh..