Back to home

Waalimu wahimizwa kutowafukuza wanafunzi wasiolipa karo

video
August 26, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Huku shule zikiendelea kufunguliwa kwa muhula wa tatu, waalimu wakuu wa shule wametakiwa kutowafukuza wanafunzi ambao hawajamaliza karo na hususan wale wa kidato cha nne ili kuwapa nafasi nzuri ya kujitayarisha kwa mtihani wa mwisho..