Back to home

Familia za waathiriwa Shakahola bado zinalia

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 30, 2025
2mo ago
Zaidi ya miaka miwili tangu mauaji ya halaiki katika msitu wa Shakahola huko Malindi, familia za waathiriwa bado zimesalia na makovu na uchungu mwingi. Baadhi ya familia hizo hazijapata majibu hadi sasa kuhusu wapendwa wao waliotoweka au kuweza kuwazika. Familia hizo sasa zinaila

More on this topic

Mass Grave Discoveries in Kilifi Prompt Criticism as Exhumations are Suspended - August 2025

Kilifi Senator Stewart Madzayo has criticized the government and the National Intelligence Service (NIS) for an alleged failure to prevent deaths as mass graves continue to be discovered in Kilifi. At one of the sites, Kwa Binzaro, the exhumation of bodies has been suspended to allow for postmortem examinations of the remains. These events are happening more than two years after the Shakahola Forest massacre, also in Kilifi, where victims' families are still grappling with pain and unanswered questions.

3 stories in this topic
View Full Coverage