Back to homeWatch Original
Usajili wa wapigakura Samburu
video
September 2, 2025
1d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Huku tume ya uchaguzi na kuratibu mipaka nchini ya IEBC,ikitarajiwa kuanza zoezi la kuwasajili wapigakura wapya kuanzia septemba 29, viongozi kutoka maeneo ya wafugaji wametoa changamoto Kwa jamii hiyo kujitokeza na kujisajili zoezi Hilo litakapoanza..