Back to home
Waigizaji waitaka Serikali na jamii kukuza sanaa hiyo
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2025
5h ago
Waigizaji katika kaunti ya Busia wameihimiza Serikali na jamii kuwasaidia kukuza sanaa hiyo, ili kubuni nafasi za ajira.
Wito huu ulitolewa kwenye hafla ya kuwafanyia majaribio wasanii wa uigizaji wa filamu kutoka maeneo mbalimbali ya kaunti za magharibi