Back to home
Jaji mstaafu David Maraga aendelea kuikosoa serikali
video
C
Citizen TV (Youtube)September 11, 2025
2h ago
Jaji mkuu mstaafu David Maraga ameendelea kuikosoa serikali ya Kenya kwanza kutokana na mauaji ya vijana wakati wa maandamano. Kulingana naye, ni haki ya kila Mkenya kuandamana na kudai haki yake kikatiba.