Back to home
Kura ya maoni ilifanywa na kampuni ya utafiti ya TIFA
video
C
Citizen TV (Youtube)September 11, 2025
2h ago
Utafiti wa kampuni ya kura ya maoni ya TIFA unaonyesha kuwa wakenya wengi wanasema taifa linaelekea katika mkondo mbaya. kulingana na utafiti huo uliofanywa kati ya Agosti 23 na Septemba 3, mwaka huu.