Back to home
Baadhi ya wawakilishi wadi kutoka Kisii walisusia mkutano wa ikulu
video
C
Citizen TV (Youtube)September 12, 2025
2h ago
Baadhi ya wawakilishi wadi kutoka Kisii waliosusia mkutano ulioandaliwa katika Ikulu ya Nairobi wanasema ulikuwa wa Kisiasa na kuwa watamuunga mkono aliyekuwa Waziri wa usalama wa Ndani Dr Fred Matiangi kwenye azma yake ya kuwania urais 2027.