Back to home

Serikali kujenga vyoo, vituo vingine kando ya barabara kuu

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 16, 2025
3h ago
Itailazimu serikali na sekta ya kibinafsi kushirikiana kwa ujenzi wa vituo vya wasafiri katika Barabara kuu nchini, kama njia ya kuwasaidia wasafiri kupata vyoo, na pia kuwaepusha na magonjwa. Hili litategemea kuidhinishwa mswada uliowasilishwa na seneta wa Nyeri Wahome wamatinga