Back to home

Waumini wa kanisa katoliki wataka eneo la Kuria ipate Dayosisi

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 16, 2025
2h ago
Waumini wa kanisa la kikatoliki katika Maeneo ya kuria wanaomba usimamizi wa kanisa Hilo kuzingatia kuanzisha wa dayosisiasisi katika eneo hilo. Waumini hao wanaeleza kuwa wamejipata katika njia panda kutafuta huduma muhimu za kanisa katika dayosisi ya Homabay ambayo iko kilomita