Back to home

Wakenya wahimizwa kukumbatia miradi ya serikali nchini

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 16, 2025
2h ago
Makatibu katika wizara mbalimbali wamewahimiza wananchi kukumbatia huduma na miradi ya serikali ili kufaidika kikamilifu na kurahisisha hali ya maisha. Wamesema serikali imewekeza rasilimali nyingi kuhakikisha huduma za kijamii zinapatikana kwa urahisi kwa wananchi wote.