Back to home
HELB yawataka wanaodaiwa kulipa madeni yao
video
C
Citizen TV (Youtube)September 16, 2025
3h ago
Serikali imewahakikishia wanafunzi kwamba ufadhili wa elimu ya juu utaendelea bila kukwama huku sasa bodi ya mikopo ya elimu ya juu ikiwataka wanaodaiwa kulipa madeni yao. Afisa Mkuu Mtendaji wa Bodi ya HELB, Geoffrey Monari, akisema kuwa bodi hiyo imejiandaa tayari kugharamia ma