Back to home

Baadhi ya wanafunzi bado wanasubiri ufadhili wa HELB

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 17, 2025
2h ago
Serikali iliwahakikishia wanafunzi kwamba ufadhili wa elimu ya juu utaendelea bila kukwama huku sasa bodi ya mikopo ya elimu ya juu ikiwataka wanaodaiwa kulipa madeni yao. Afisa Mkuu Mtendaji wa Bodi ya HELB, Geoffrey Monari, akisema kuwa bodi hiyo imejiandaa kugharamia mahitaji