Back to home
Hatari ya ufisadi: Akaunti 5,000 za kaunti hazijaidhinishwa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 17, 2025
2h ago
Msimamizi wa bajeti Margaret Nyakango sasa anasema kuwa kaunti zote nchini zimekuwa zikiendesha akaunti za benki ambazo hazijaidhinishwa. Nyakango akisema kuwa, kuna kaunti kama vile ile ya Homa Bay ambayo inaendeshazaidi ya akaunti 500 za benki. Kwa jumla, kaunti hizi zimeandiki