Back to home

Chama cha madaktari wa mifugo chatoa tahadhari

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 18, 2025
1d ago
Wanachama wa muungano wa madaktari wa mifugo na wanyama nchini, hii Leo wamekutana Jijini Nakuru kujadili ukosefu wa wataalam wa mifugo katika serikali za kaunti, jambo ambalo linahatarisha usalama wa chakula cha binadamu kinachotokana na mifugo. aidha mwenyekiti wa muungano huo