Back to home

Afueni kwa wakazi wa Pokot Magharibi kufuatia uzinduzi wa kituo cha kwanza kwa mafunzo ya kidijitali

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 18, 2025
2h ago
Wanafunzi pamoja na wakazi wa kaunti ya Pokot Magharibi wamepata afueni kufuatia uzinduzi wa kituo cha kwanza cha mafunzo ya kidijitali katika chuo cha kiufundi cha Kitalakapel. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get