Back to home

Mbunge wa Teso Kaskazini Oku Kaunya ateuliwa kuwa msemaji wa Iteso

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 22, 2025
3h ago
Kama mojawapo ya njia za kuileta pamoja jamii yenye watu wachache na iliyotengwa ya iteso, wazee wa jamii hiyo wamemuidhinisha mbunge wa Teso Kaskazini Oku Kaunya kuwa msemaji wa jamii hiyo ili kupata usemi nchini.