Back to home

Wakazi Makueni kufahamishwa namna ya kufuatilia urithi wao

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 23, 2025
3h ago
Serikali ya makueni imeanzisha vikao vya kuhamasisha umma kuhusu sheria za urithi wa ardhi ili kusaidia jamii kujua jinsi ya kufuatilia hatimiliki za mashamba waliyoachiwa na wazazi. Kadhalika, zoezi hilo linalenga kupunguza mizozo ya mashamba katika kaunti hiyo.