Back to home

Wanawake wasusia kupata watoto

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 25, 2025
2h ago
Asilimia 46 ya wanawake wa umri wa kupata watoto nchini hawataki kupata watoto zaidi, huku asilimia 30 wakipendelea kuchelewesha ujauzito unaofuata baada ya kujifungua. Hii ni kwa mujibu wa utafiti wa serikali uliowasilishwa na afisa wa Idara ya Afya ya Uzazi, Mama, Mtoto, Vijana