Back to home

Magavana wanedelea kupinga mfumo wa kutoa kandarasi kidijitali

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 29, 2025
2h ago
Magavana wameibua hisia kali wakipinga mfumo mpya wa ununuzi na kutoa kandarasi kidijitali wakisema umefeli miezi mitatu baada ya kuanza kutekelezwa. Kadhalika, wanataka mgao wa fedha wa shilingi bilioni 36 ambazo hawajapokea hadi sasa. Magavana hao wameibua hoja hizo katika mkut