Back to home

Wakazi wa Mbooni wahimizwa kuhifadhi msitu wa Kivale

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 29, 2025
1h ago
Serikali ya kaunti ya Makueni iliandaa hafla ya kuadhimisha siku ya utalii katika msitu wa Kivale eneo bunge la Mbooni. wakazi wa kaunti hiyo wametakiwa kuendelea kuhifadhi misitu na kupanda miti kwa wingi na hususan katika milima iliyoko kwenye kaunti hiyo katika harakati za