Back to home

Mpasuko wazidi katika muungano wa upinzani | Gachagua na Jubilee washambuliana

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 29, 2025
2h ago
Mpasuko ndani ya muungano wa upinzani umeendelea huku vigogo wa mrengo huo wakiongozwa na kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua wakiongoza mashambulizi dhidi ya chama cha Jubilee kinachoongozwa na rais mstaafu Uhuru Kenyatta. Katibu mkuu wa jubilee Jeremiah Kioni aidha, akimka