Back to home

Seneta wa Nandi Samson Cherargei aitaka serikali kuchunguza maafa ya ughaibuni

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 30, 2025
3h ago
Seneta wa Nandi Samson Cherargei ametaka idara ya ujasusi DCI Na wizara ya mambo ya nchi za kigeni kufanya uchunguzi zaidi ya vifo tatanishi vilivyotokea katika mataifa za kigeni ili familia zipate haki kwa wapendwa wao.