Back to home
Mwanafunzi wa udaktari alazimika kuishi mitaani kutokana na masumbuko ya karo
video
C
Citizen TV (Youtube)October 1, 2025
2h ago
Mwanafunzi mmoja wa udaktari alilazimika kuacha shule na kuishia barabarani kwa kukosa karo ya kuendelea na masomo yake. Ndoto ya Dancan Barongo kuwa daktari ilikatizwa na akalazimika kuishia barabarani katika mtaa wa Githurai. Hata hivyo, Barongo sasa ameokolewa na wahisani akiw