Back to home

ICPAK yataka uchunguzi wa sakata ya ajira SHA baada ya mfichuzi kutimuliwa kazi

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 1, 2025
2h ago
Haya yajikiri, chama cha wahasibu nchini - ICPAK- sasa kinataka uchunguzi huru kuhusu sakata ya ajira katika mamlaka ya afya ya SHA. Hii ni kufuatia kuripotiwa kuwa Andrew Rotich, aliyefichua ulaghai wa mabilioni ya pesa, alitupwa nje ya orodha ya walioteuliwa upya kwa ajira. Rot