Back to home

IEBC yatumai usajili wa wapiga kura mara dufu kinyume na inavyoshuhudiwa siku tatu za kwanza

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 2, 2025
2h ago
Tume ya uchaguzi nchini IEBC imeelezea matumaini kuwa idadi ya watu watakaosajiliwa upya kama wapiga kura itaongezeka kinyume na ilivyoshuhudiwa siku chache zilizopita. Tume hiyo ambayo inatembelea vyuo vikuu kuwashawishi vijana kujisajili, imesema kuwa ushawishi wao kwa vijana u