Back to home

Chuo Kikuu cha Zetech kimezindua taasisi ya utafiti wa wakongwe

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 3, 2025
2h ago
Chuo kikuu cha Zetech kimezindua taasisi ya utafiti wa wakongwe kwa ushirikiano na wakfu wa Kinuthia Wamwangi ili kushughulikia changamoto zinazowakabili wazee. Taasisi hiyo itafanya utafiti, kuandaa kambi za matibabu, na huduma za kuwahamasisha umma kuhusu changamoto zinazowaka