Back to home

Naibu rais Kithure Kindiki aongoza ziara Garissa, aahidi maendeleo na kulaani serikali iliyopita

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 6, 2025
3h ago
Naibu Rais Profesa ameongoza ujumbe wa viongozi wa Kenya Kwanza kwa ziara kaunti ya Garissa, ambako amewahakikishia wakaazi maendeleo. Kindiki akiilimbikizia lawama serikali iliyopita kwa kile anasema ni kuwabagua wakazi wa maeneo ya Kaskazini mashariki. Viongozi walioandamana na