Back to home

Wakazi wa Seme waonywa dhidi ya kuwinda na kula ndege wa kwarara

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 6, 2025
3h ago
Shirika la huduma kwa wanyamapori sasa limetoa onyo kwa wakazi wa eneo la Seme kaunti ya Kisumu, ambao wanawinda na kula mdege aina ya kwarara . Kulingana na msimamizi wa kisiwa cha Ndere, idadi ya ndege hao imepungua maradufu .licha ya utafiti kuonyesha uwezekano wa ndege hao ku