Back to home

Familia 300 zaachwa bila makao Taita Taveta licha ya amri ya mahakama kusitisha ubomoaji

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 6, 2025
3h ago
Zaidi ya familia 300 kutoka kijiji cha Mkocheni kaunti ya Taita Taveta zimeachawa bila makao baada ya nyumba zao kubomolewa kufuatia utata wa ardhi. Familia hizo zimeachwa njiapanda baada ya ilani waliyopewa kuwataka kuhama ardhi hiyo ya ekari elfu moja kufikia leo. Ubomoaji huu