Back to home
Vijana wahimizwa kujiandikisha kama wapiga kura nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)October 7, 2025
1h ago
Jaji Mkuu wa zamani, David Maraga ameitaka serikali kuwaheshimu na kuwalipa wafanyakazi wa vyuo vikuu, wanaoendelea na mgomo wiki ya nne sasa kutokana na kutotekelezwa kwa makubaliano ya kazi ya mwaka 2021-2025.