Back to home
Vijana washauriwa kujisajili kuwa wapiga kura Butere
video
C
Citizen TV (Youtube)October 7, 2025
2h ago
Wito unatolewa kwa vijana kujitokeza na kujisajili kama wapiga kura kuelekea uchaguzi wa 2027, ili kuwachagua viongozi wenye maono ya maendeleo. Wakizungumza kule Butere, Kasisi John Ambaisi wa Kanisa la St. Thomas Nyenyesi, na wakereketwa wengine wamesisitiza umuhimu wa kura ya