Back to home

Kenya iko njiani kujitosheleza kwa sukari kufuatia ukodishaji wa viwanda vinne

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 7, 2025
2h ago
Bodi ya sukari Nchini sasa imesema Kenya iko katika mkondo wa kujitosheleza katika mahitaji yake ya sukari, baada vya ukodeshaji wa viwanda vinne vya sukari. Wakulima wa miwa wameelezea matumaini yao katika sekta hiyo huku wakitaka mfumo wa malipo ya miwa kubadilishwa. Haya yanaj