Back to home

Mwanamke bomba anayeongoza chuo kikuu cha urembo Nairobi, aathiri maisha ya watu 6000+

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 7, 2025
3h ago
Kwa wengi biashara ya saluni ni njia ya kujipatia riziki na kujiimarisha kiuchumi. Lakini kwa Esther wangare kinyanjui ni zaidi ya kazi kwani imemsaidia kuinua jamii zisizojiweza maishani na kuwapa matumaini vijana wengi.kwa zaidi ya miaka 20 sasa amekuwa mwajiri, mwalimu na mlez