Back to home

Serikali ya kenya yashirikiana na halmashauri ya IGAD kutoa mafunzo kwa viongozi vijana Mombasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 8, 2025
1h ago
Halmashauri ya Maendeleo kati ya serikali za mataifa mbalimbali (IGAD) imezindua kundi la tatu chini ya Chuo chake cha Uongozi wa Vijana wa Kikanda kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa viongozi vijana katika eneo hili.